Mchezaji wa Timu ya New West akijaribu kuwapita wchezaji wa Timu ya Africa Magic wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Mpira wa Kikapu uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Africa Magic imeshinda kwa Vikapu 59 - 48.
MBUNGE KAIRUKI ATOA MATUMAINI MAPYA SARANGA, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA
KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
-
Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki,
amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo
inayoendelea...
8 hours ago
0 Comments