Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanafunzi wa Skuli mbalimbali za Unguja na Pemba wakati wakipita kwa maandamano katika Jukwaa Kuu la Viongozi katika hafla ya Tamasha la 56 la Maadhimisho ya Elimu Bila Malipo Zanzibar lililofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
3 hours ago
0 Comments