Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Lela Muhamed Mussa akiwatunza Wanafunzi kutoka Skuli ya Maandalizi Kidutani kwa kucheza ngoma ya mwanandege wakati wa sherehe za kuzindua mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya lazima Zanzibar ambapo mgeni rasmi mhe Hemed Suleiman Abdullah makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar katika viwanja vya Skuli ya Msingi Salim Turkey Mpendae
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
11 hours ago

0 Comments