Habari za Punde

RAIS KARUME AKIBADILISHANA MAWAZO NA MH ALI JUMA SHAMHUNA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume akibadilishana mawazo na Naibu Waziri Kiongozi, na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Ali Juma Shamuhuna wakiwa nje ya jengo la baraza baada ya Rais kulivunja rasmin.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.