Habari za Punde

MKUTANO WA KAMPENI JIMBO LA MJI MKONGWE CCM.

MGOMBEA Uwakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi jimbo la mji mkongwe Simai Mohammed Said akishangiriwa wakati akitowa sera zake kwa Wananchi wa Jimbo hilo ikiwa ni moja ya mikutano yake ya Kampeni jimboni.
WANACHAMA wa CCM Jimbo la Mji Mjkongwe wakimsikiliza mgombea Uwakilishi wa Jimbo hilo Simai Mohammed Said akitowa sera zake katika kiwanja cha Mapembeani Muembetanga.

1 comment:

  1. Tumchague ndugu yetu Simai Mohammed Said..Kijana anaye tufaa na mwenye Mafanikio ya kutuongoza na anayetufaa Mji mkongwe..CCM OYYEE

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.