MWENYEKITI wa UWT Mkoa wa Kaskazini Pemba Saada Thani akitowa maelezo kwa Mke wa Rais wa Zanzibar alipofika katika ukumbi wa Benjamin Mkapa kutowa shukrani zake kwa Wanawake wa Vikundi vya UWT kwa ushinndi wa CCM katika Uchaguzi wa Urais uliofanyika Mwaka jana
KATIBU wa UWT wa Mkoa wa Kaskazini Mafunda Khamis akisoma risala ya Wanawake wa UWT kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanawema Shein alipofika kuwashukuru katika Ukumbi wa Benjamin Mkapa Wete
No comments:
Post a Comment