Zifuatazo ni nafasi za uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi, CCM, na waliopewa jukumu la kuziongoza:
Katibu Mkuu - Wilson Mukama
Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara) - John Chiligati
Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar) - Vuai Ali Vuai
Itikadi na Uenezi - Nape Nnauye
Organaizesheni ya NEC - Asha Abdallah Juma
Katibu wa Siasa na Mambo ya Nje - January Makamba
Katibu wa Fedha na Uchumi - Mwigulu Nchema
Serikali Yaipongeza TCB kwa Kuimarisha Ujumuishi wa Fedha
-
SERIKALI imesema inatambua na kuthamini mchango wa Benki ya Biashara
Tanzania (TCB) katika kupanua wigo wa upatikanaji wa huduma jumuishi za
fedha kwa wana...
31 minutes ago
0 Comments