Zifuatazo ni nafasi za uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi, CCM, na waliopewa jukumu la kuziongoza:
Katibu Mkuu - Wilson Mukama
Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara) - John Chiligati
Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar) - Vuai Ali Vuai
Itikadi na Uenezi - Nape Nnauye
Organaizesheni ya NEC - Asha Abdallah Juma
Katibu wa Siasa na Mambo ya Nje - January Makamba
Katibu wa Fedha na Uchumi - Mwigulu Nchema
DKT. LAZARO BUNUNGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA PERAMIHO
-
Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi
(CCM), Dkt. Lazaro Komba Bunungu, amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya
kugo...
2 hours ago
0 Comments