WAUMINI wakiwa katika matayarisho ya Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Mchangani, wakiwa nje ya maeneo ya barabara ya mtaa huo katika kipindi cha sala ya Ijumaa misikiti mingi huja na baadhi ya watu kusali nje kama inavyoonekana katikammoja wa msikiti huu.
Mgombea Urais wa Zanzibar Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefunga Kampeni za CCM Katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja Jijini Zanzibar leo 26-10-2025
-
Mtaalamu wa lugha ya Alama Masika Khamis Ali akitoma maelezo kwa Wananchi
wa makundi maalumu wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha
Mapind...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment