WAUMINI wakiwa katika matayarisho ya Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Mchangani, wakiwa nje ya maeneo ya barabara ya mtaa huo katika kipindi cha sala ya Ijumaa misikiti mingi huja na baadhi ya watu kusali nje kama inavyoonekana katikammoja wa msikiti huu.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
6 hours ago
0 Comments