Habari za Punde

MAANDALIZI YA KIKAO CHA BAJETI YA SERIKALI 2011 / 2012

 KATIBU wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Ibrahim Mzee akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya Maandalizi ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Baraza la Nane la Wawakilishi.
 KATIBU wa Baraza la Wawakilishi Ibrahim Mzee   akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali Zanzibar  juu ya maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Baraza Kikao cha Nane kinategemewa kuanza 15-6-2011
 WAANDISHI wa habari wakimsikiliza Katibu wa Baraza la Wawakilishi  akitowa  maelezo ya Kikao cha Nne cha Baraza kinachoanza 15-6-2011, wakiwa katika Chumba cha Mkutano cha Baraza Mbweni. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.