MVUVI katika Kijiji cha Chwaka akitoka bahari akiwa na samaki akipeleka katika mnada wa samaki katika soko la Chwaka kila mtungo mmoja wa samaki umeuzwa shilingi 35,000/=.
TANCDA Yatoa Wito wa Mabadiliko ya Maisha; Yazindua Mpango wa Kidijitali wa
Smart Health Journey
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MUUNGANO wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza Tanzania (TANCDA) umetoa wito wa
mabadiliko ya haraka ya mitindo ya maisha mi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment