MVUVI katika Kijiji cha Chwaka akitoka bahari akiwa na samaki akipeleka katika mnada wa samaki katika soko la Chwaka kila mtungo mmoja wa samaki umeuzwa shilingi 35,000/=.
Mradi wa PACSMAC Wabainisha Suluhisho la Changamoto za Tabianchi kwenye zao
la Kahawa
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Serikali imejipanga kuwezesha upatikanaji wa maji kwa ajili ya kilimo cha
umwagiliaji katika zao la kahawa, kwa lengo la ku...
35 minutes ago
0 Comments