Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akiwasalimia watoto wa kijiji cha Piki wilaya ya Wete Pemba, mara baada ya kuwapa polewananchi wa Piki, Kisiwani na Mzambarau takao,waliofiliwa na jamaa zao katika meli ya Mv Spice Islander,hivi karibuni katika mkondo wa Nungwi kaskazini Unguja, ikiwa katika safari ya kisiwani Pemba. (Picha na Ramadhan Othman Pemba)
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
Mkuu,
ReplyDeleteHii picha safi sana. Imenigusa sana. Watoto kweli ni maua. Ukiangalia sura zao zenye bashasha unahisi matatizo yote ya dunia yamepotea. Allah hakukosea aliposema watoto ni mapambo. Big up Mkuu!
Mdau
USA.