Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Bihindi Hamad Khamis akimkabidhi zawadi mwanafunzi bora Kazija K. Uledi baada ya kuhitimu mafunzo ya mwaka mmoja ya kusarifu na kutengeneza filamu na matumizi ya Computer, katika mahafali iliofanyika juzi katika ukumbi wa Bait el Yamin Malindi mjini hapa.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment