Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Bihindi Hamad Khamis akimkabidhi zawadi mwanafunzi bora Kazija K. Uledi baada ya kuhitimu mafunzo ya mwaka mmoja ya kusarifu na kutengeneza filamu na matumizi ya Computer, katika mahafali iliofanyika juzi katika ukumbi wa Bait el Yamin Malindi mjini hapa.
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment