Mzee Hassan Nassor Moyo akimkabidhi Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume nishani ya Shujaa wa Zanzibar iliyotolewa na Swahili Performing Arts Centre (SPAC) ambapo nishani kama hiyo tayari ameshakabidhiwa Maalim Seif Sharif Hamad kutokana na mchango wa viongozi hao walisimamia maridhiano ya Zanzibar, walioshuhudia makabidhiano hayo Mwenyekiti wa SPAC, Kheri Abdallah Yussuf na Mjumbe wa Bodi, Ismail Jussa
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment