Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali zilizokodi katika, jengo la ZSSF,wakiwa nje ya Ofisi zao baada ya kutokea Shoti ya Umeme katika jengo hilo lilioko Mwanakwerekwe Unguja jana, katika ajali hiyo hakuna madhara yoyote yaliotokea.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment