Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Asha Balozi Seif Ali Iddi, akitembelea maonesho ya Vijana wa Soba House , ambazo hutumia muda wao kwa kazi za Amali wakiwa katika Vituo hivyo
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi akitembelea maonesho ya vifaa vya Vijana wa Soba House katika moja ya nyumba za Vijana hao Mpendae Zanzibar.
MKE wa Makamo wa Pili wa Rais Mama Asha Balozi Seif Iddi kulia,akimkabidhi Vyarahani,nyuz kushonea,Mchele.Sabuni na Sukari,Kiongozi wa Vijana walioacha kutumia dawa ya kulevya na kujifunza tabia njema Fatuma Sukwa,makabidhiano hayo yamefanyika katika moja ya nyumba hizo Detroit Sobar House Mpendae jana,(Picha na Abdallah Masangu).
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akimkabidhi Vifaa Kiongozi wa Nyumba za Soba House Suleiman Mauliy.
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akitowa nasaha zake kwa Vijana wanaoishi katika nyumba hizo za Soba House, kuacha matumizi ya Dawa wanapomaliza muda wao wa kupata ushauri wakiwa katika makazi hayo na kuendelea na tabia nzuri walizo jifunza.
Kiongozi wa Vijana Wanaoishi katika nyumba za Soba House akitowa historia ya nyumba hizo wakati wa sherehe za kukabidhiwa misaada mbali kwa ajili ya vituo hivyo kujiendeleza kwa kazi xza mikono wanazofanya vijana hao wakiwa katika vituo hivyo.
Vijana wa Soba House wakimsikiliza Mke wa Makamu wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akitowa nasaha zake.
No comments:
Post a Comment