Ufungaji wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Chumbuni Zanzibar
Viwanja vya Avenja
-
Shamrashamra za ufungaji wa mkutano ya Kampeni wa Chama Cha Mapiduzi (CCM)
za Ubunge,Uwakilishi na Udiwani Jimbo la Chumbuni Zanzibar , kwa onesho la
Uta...
5 hours ago

Asalama alaikum waisilam wote kwa ujumba huu ni mwezi mtukufu kwetu waisilamu kufanya mema pia kuzidi kukumbusha yale tunayoyasahau au tusiyo yajuwa hakuna binadamu aliye kamilika nikatika mwezi huu ndio iliposhushwa quran tukufu ndani ya Qurani hiyo kuna mengi sana tu leo hapa napenda tukumbushane kauli wapo ya Mmungu iliyokuwemo ndaniya Qurani Mmungu anatwambia Waiteni watoto wenu kwa majina ya Baba zao sasa unapo mwita huyu mke wa Rais kwa jina la mumewe (Mwanamwema Shein) tayari unakizana na kauli ya Mwenywezi Mungu,lakini nomba hapa ikumbukwe inategemea na imani ya dini ya mwitaji na aitwae Asalam alikum
ReplyDelete