Mtaalamu kutoka kikosi cha Zimamoto na Uokozi Pemba, Mohammed Fadhili, akizima moto, baada ya kuwapatia taaluma, wafanyakazi wa shirika la Umeme ZECO Tawi la Pemba, Jinsi gani mitungi ya gesi ya huduma ya kwanza, yanavyo anya kazi pale panapotokea tatizo la kuungua moto. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
DEJEMBI KUZINDUA KITUO CHA KUPOOZA UMEME CHENYE THAMANI YA BILIONI 9.7
-
Na Mwandishi wetu - Dodoma.
WAZIRI wa Nishati Deogratius Ndejembi anatarajia kuzindua kituo cha kupozea
umeme cha Mtera ambacho kimejengwa kwa Fedha za ...
16 minutes ago
1 Comments
Mabaduliko yoyote ya katiba Z'bar lazma yaweke wazi majukumu ya wakuu wa mikoa na wilaya.
ReplyDeleteUmri na viwango vyao vya elimu ni muhimu katika kujenga imani kwa wananchi juu ya uwezo wao kiutendaji.