Mtaalamu kutoka kikosi cha Zimamoto na Uokozi Pemba, Mohammed Fadhili, akizima moto, baada ya kuwapatia taaluma, wafanyakazi wa shirika la Umeme ZECO Tawi la Pemba, Jinsi gani mitungi ya gesi ya huduma ya kwanza, yanavyo anya kazi pale panapotokea tatizo la kuungua moto. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Emmanuel Nchimbi
Awasili Nchini Congo Kumuwakilisha Mhe.Dkt.Rais Samia Suluhu Hassan
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, akipokelewa na Waziri wa Biashara za Kimataifa wa Jamhuri ya
Kidemokr...
37 minutes ago

Mabaduliko yoyote ya katiba Z'bar lazma yaweke wazi majukumu ya wakuu wa mikoa na wilaya.
ReplyDeleteUmri na viwango vyao vya elimu ni muhimu katika kujenga imani kwa wananchi juu ya uwezo wao kiutendaji.