Meneja Huduna za Wateja Benki ya NMB tawi la Zanzibar Abu Msangula, akitowa maelezo ya huduma ya Benki yake kwa Viongozi na Timu ya Baraza la Wawakilishi wakati wa kukabidhi Vifaa vya Michezo jezi Seti moja kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwa mchezo kirafiki na Timu ya Wabunge wa Jamuhuri ya Muungano unaotarajiwa kufanyika Zanzibar katika sherehe za Mapinduzi mwakani.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment