Meneja Huduna za Wateja Benki ya NMB tawi la Zanzibar Abu Msangula, akitowa maelezo ya huduma ya Benki yake kwa Viongozi na Timu ya Baraza la Wawakilishi wakati wa kukabidhi Vifaa vya Michezo jezi Seti moja kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwa mchezo kirafiki na Timu ya Wabunge wa Jamuhuri ya Muungano unaotarajiwa kufanyika Zanzibar katika sherehe za Mapinduzi mwakani.
Serikali kuendelea kuweka Sera na Mipango madhubuti ili kuimarisha Ustawi na Maendeleo ya Wazee wote
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman,
akihutubia wakati wa Hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, katika
Ukumb...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment