Meneja Huduna za Wateja Benki ya NMB tawi la Zanzibar Abu Msangula, akitowa maelezo ya huduma ya Benki yake kwa Viongozi na Timu ya Baraza la Wawakilishi wakati wa kukabidhi Vifaa vya Michezo jezi Seti moja kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwa mchezo kirafiki na Timu ya Wabunge wa Jamuhuri ya Muungano unaotarajiwa kufanyika Zanzibar katika sherehe za Mapinduzi mwakani.
Kisima cha Abood Chazua Taharuki, Hakijatoa Maji Tangu Uzinduzi
-
WANANCHI WA Kata ya Tungi Katika Manispaa ya Morogoro wamelalamikia kitendo
kilichofanywa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Abdulaziz Abood cha
'kuw...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment