Jopo la Madaktari Bingwa wa Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo kutoka China wakimfanyia uchunguzi mmoja wa Mgonjwa wa Vidonda vya tumbo katika Hospitali ya Mnazi mmoja, baada ya kufungulia Kitengo cha Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo katika hospitali hiyo na kutowa faraja kwa Wananchi wanaosumbuliwa na maradhi hayo, Mashine hiyo maalumu inayo uwezo wa kugundua maradhi hayo . kikiwa chini ya Madaktari mabingwa kutoka China.
WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO
-
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akiwasilisha hotuba
ya makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha
2025/202...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment