Jopo la Madaktari Bingwa wa Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo kutoka China wakimfanyia uchunguzi mmoja wa Mgonjwa wa Vidonda vya tumbo katika Hospitali ya Mnazi mmoja, baada ya kufungulia Kitengo cha Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo katika hospitali hiyo na kutowa faraja kwa Wananchi wanaosumbuliwa na maradhi hayo, Mashine hiyo maalumu inayo uwezo wa kugundua maradhi hayo . kikiwa chini ya Madaktari mabingwa kutoka China.
JUBILEE INSURANCE WAZINDUA OFİSİ YAO MPYA FAYKAT TOWER
-
Na Mwandishi Wetu
JUBILEE Insurance (Jubilee Life na Jubilee Health) leo Novemba 17,2025
wamezindua rasmi ofisi yao mpya iliyopo ghorofa ya tatu jengo l...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment