Jopo la Madaktari Bingwa wa Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo kutoka China wakimfanyia uchunguzi mmoja wa Mgonjwa wa Vidonda vya tumbo katika Hospitali ya Mnazi mmoja, baada ya kufungulia Kitengo cha Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo katika hospitali hiyo na kutowa faraja kwa Wananchi wanaosumbuliwa na maradhi hayo, Mashine hiyo maalumu inayo uwezo wa kugundua maradhi hayo . kikiwa chini ya Madaktari mabingwa kutoka China.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment