Jopo la Madaktari Bingwa wa Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo kutoka China wakimfanyia uchunguzi mmoja wa Mgonjwa wa Vidonda vya tumbo katika Hospitali ya Mnazi mmoja, baada ya kufungulia Kitengo cha Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo katika hospitali hiyo na kutowa faraja kwa Wananchi wanaosumbuliwa na maradhi hayo, Mashine hiyo maalumu inayo uwezo wa kugundua maradhi hayo . kikiwa chini ya Madaktari mabingwa kutoka China.
BARRICK - TWIGA YAPONGEZWA KUWA KIELELEZO CHA UBIA WENYE MAFANIKIO NCHINI
-
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango na ujumbe wake wakipata maelezo ya
utendaji kutoka kwa Meneja wa Barrick nchini, Dk. Melkiory Ngido kushoto
kwake ni Mwen...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment