Jopo la Madaktari Bingwa wa Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo kutoka China wakimfanyia uchunguzi mmoja wa Mgonjwa wa Vidonda vya tumbo katika Hospitali ya Mnazi mmoja, baada ya kufungulia Kitengo cha Uchunguzi wa Vidonda vya Tumbo katika hospitali hiyo na kutowa faraja kwa Wananchi wanaosumbuliwa na maradhi hayo, Mashine hiyo maalumu inayo uwezo wa kugundua maradhi hayo . kikiwa chini ya Madaktari mabingwa kutoka China.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment