Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid S Mahammed, akitowa taarifa ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusiana na ajali ya Boto ya Kampuni ya Azam Marine katika maeneo ya Mkondo wa Nungwi baada ya kutokea dharuba na baadhi ya abiria wake kuangukia baharini na kupotea. Kwa juhudi za Wavuvi wa Nungwi wamefanikiwa kuwaokoa Watu 3 na kupata miili ya Watu 5.wakati wa zoezi hilo jana.
BoT KUNUNUA TANI 6 YA DHAHABU – GAVANA TUTUBA
-
Benki Kuu ya Tanzania imeanza zoezi la ununuzi wa dhahabu kwa lengo la
kuchangia maendeleo ya sekta ya madini nchini pamoja na kuongeza akiba ya
fedha za...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment