Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid S Mahammed, akitowa taarifa ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusiana na ajali ya Boto ya Kampuni ya Azam Marine katika maeneo ya Mkondo wa Nungwi baada ya kutokea dharuba na baadhi ya abiria wake kuangukia baharini na kupotea. Kwa juhudi za Wavuvi wa Nungwi wamefanikiwa kuwaokoa Watu 3 na kupata miili ya Watu 5.wakati wa zoezi hilo jana.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais 
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
                      -
                    
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs 
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa 
Jamhuri ya Muun...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment