Habari za Punde

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Atoa Taarifa ya Serekali kwa Waandishi.

 
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid S Mahammed, akitowa taarifa ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusiana na ajali ya Boto ya Kampuni ya Azam Marine katika maeneo ya Mkondo wa Nungwi baada ya kutokea dharuba na baadhi ya abiria wake kuangukia baharini na kupotea. Kwa juhudi za Wavuvi wa Nungwi wamefanikiwa kuwaokoa Watu 3 na kupata miili ya Watu 5.wakati wa zoezi hilo jana.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais akizungumza na Waandishi wa vyombo mbalimbali kuhusiana na kwa ajili ya Boti ya Kilimanjaro 2 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.