Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid S Mahammed, akitowa taarifa ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusiana na ajali ya Boto ya Kampuni ya Azam Marine katika maeneo ya Mkondo wa Nungwi baada ya kutokea dharuba na baadhi ya abiria wake kuangukia baharini na kupotea. Kwa juhudi za Wavuvi wa Nungwi wamefanikiwa kuwaokoa Watu 3 na kupata miili ya Watu 5.wakati wa zoezi hilo jana.
MNZAVA AWASIHI MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI KUSHIRIKIANA KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
*Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka
madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua
migogoro...
6 hours ago
0 Comments