Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid S Mahammed, akitowa taarifa ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusiana na ajali ya Boto ya Kampuni ya Azam Marine katika maeneo ya Mkondo wa Nungwi baada ya kutokea dharuba na baadhi ya abiria wake kuangukia baharini na kupotea. Kwa juhudi za Wavuvi wa Nungwi wamefanikiwa kuwaokoa Watu 3 na kupata miili ya Watu 5.wakati wa zoezi hilo jana.
WAZIRI MCHENGERWA ATOA MIAKA MITATU OCEAN ROAD, WAGONJWA WA SARATANI
KUTIBIWA NCHINI
-
Na WAF, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameipa Bodi ya Taasisi ya Saratani
ya Ocean Road (ORCI) muda wa miaka mitatu kuhakikisha h...
10 minutes ago
0 Comments