Habari za Punde

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete Aongoza Mazishi ya Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Luteni Kanali Benedict Kitenga (MSTAAFU) leo Mkoani Morogoro

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete (pichani kati)  na Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda  (pichani shoto) wakishuhudia askari wa jeshi la Wananchi (JWTZ) wakipiga risasi hewani kama sehemu ya heshima ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa mkoani Kagera leo,Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (mstaafu) huko kwenye makaburi ya Mlima Kola Kigurunyembe mkoani Morogoro. PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.