Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete (pichani kati) na Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda (pichani shoto) wakishuhudia askari wa jeshi la Wananchi (JWTZ) wakipiga risasi hewani kama sehemu ya heshima ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa mkoani Kagera leo,Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (mstaafu) huko kwenye makaburi ya Mlima Kola Kigurunyembe mkoani Morogoro. PICHA NA IKULU.
ASANTENI WANA RUANGWA - MAJALIWA
-
Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa, akiwa katika
picha ya pamoja na baadhi ya watia nia wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Ruangwa
Julai...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment