Mratibu wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed,
akielezea historia ya kituo hicho kwa wanafunzi wa skuli za sekondari za Mkoa
wa kusini Pemba, kwenye mafunzo ya utayarishaji wa katiba na sheria, kulia ni
Afisa Mdhamini elimu Pemba, Salum Kitwana Sururu na kushoto ni Afisa Mipango wa
ZLSC Mohamed Hassan Ali
Mratibu wa Mafunzo ya Utayarishaji wa Katiba na Sheria, Khalfan Amour Mohamed, akitoa
ufafanuzi jinsi ya mafunzo hayo, kulia Afisa Mdhamini wizara ya elimu
Pemba, Salum Kitwana Sururu mafunzo hayo, yalifanyika Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
Mdhamini Elimu Pemba, Salum Kitwana Sururu akifungua mafunzo ya siku moja kwa wanafunzi
wa skuli za sekondari za Mkoa wa kusini Pemba, juu ya utayarishaji wa katiba na
sheria, kulia ni Mratibu wa mafunzo hayo, Khalfan Amour Mohamed na kushoto ni Mratibu
wa ZLSC Fatma Khamis Hemed.
Wanafunzi wa
skuli za sekondari za Mkoa wa kusini Pemba, wakisiliza uwasilishaji wa mada,
katika mafunzo ya utayarishaji wa katiba na sheria, yalioandaliwa na kufanyika
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba.
Mwanafunzi
wa skuli za sekondari ya Mkoa wa kusini Pemba, akielezea maana ya katiba, mbele
ya mtoa mada kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Pemba, Fatma Khamis Hemed
Watendaji wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la
Pemba, Afisa mdhamini elimu Pemba na
wanafunzi wa skuli za sekondari za mkoa wa kusini Pemba, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mafunzo ya
utayarishaji wa katiba na sheria
No comments:
Post a Comment