HII ndio moja ya athari ya maeneo ya kihistoria kama vile Mkamandume wilaya ya Chakechake Pemba, kutokuwa na watu wa kuyatunza na kuwarahisisha wafugaji kufunga mifugo yao ndani ya maeneo ya kihistoria, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
KRETA YA EMPAKAAI (EMPAKAAI CRATER).
-
Kasoko ya Empakaai ni mojawapo ya Kasoko za volkano ndani ya Hifadhi ya
Ngorongoro, ikiwa na kingo za juu na ziwa zuri linalofunika zaidi ya
asilimia 75 ...
57 minutes ago
0 Comments