Habari za Punde

Waziri Aboud azungumza na watendaji wa serikali Mkoa wa Kaskazini Pemba

 MASHEHA wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, wakati alipokuwa akizungumza na watendaji wa Serikali Mkoa wa kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakiwa katika kikao cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, wakati alipokuwa akizungumza na watendaji wa Serikali mkoa huo, katika ukumbi wa Jamhuri holi Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe:Omar Khamis Othman, akiwanasihi jambo watendaji wa Serikali mkoa huo, mara baada ya Waziri wa Nchi ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, huko katika ukumbi wa Jamhuri holi Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, akizungumza na watendaji wa serikali wa mkoa wa Kaskazini Pemba, juu ya mabadiliko ya hali ya Hewa nchini.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.