Wanafunzi wakiwa mbele ya gari daladala lililokuwa likipita njia isiyo ruhusiwa katika eneo la kiponda baada ya kuzuka kwa mabishano na msukuma mkokoteni ambaye yuko sawa kupita njia hiyo mwenye daladala akipita kinyume na sheria za barabara katika mitaa ya mji mkongwe wa Zanzibar
TASAF YAJIVUNIA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KUPITA MRADI WA KUPUNGUZA
UMASIKINI AWAMU YA NNE
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Karatu
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) Shedrack Mziray
ametoa taarifa ya mafanikio ya Mradi wa Kupun...
1 hour ago
0 Comments