Wanafunzi wakiwa mbele ya gari daladala lililokuwa likipita njia isiyo ruhusiwa katika eneo la kiponda baada ya kuzuka kwa mabishano na msukuma mkokoteni ambaye yuko sawa kupita njia hiyo mwenye daladala akipita kinyume na sheria za barabara katika mitaa ya mji mkongwe wa Zanzibar
TUNAKUJA TENA KUOMBA RIDHAA KWA KUJIAMINI NA UJASIRI MKUBWA- DK SAMIA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Zanzibar
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema kuelekea Uchaguzi Mkuu Okto...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment