Wanafunzi wakiwa mbele ya gari daladala lililokuwa likipita njia isiyo ruhusiwa katika eneo la kiponda baada ya kuzuka kwa mabishano na msukuma mkokoteni ambaye yuko sawa kupita njia hiyo mwenye daladala akipita kinyume na sheria za barabara katika mitaa ya mji mkongwe wa Zanzibar
BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na
Mustakabali wa Wanachama
-
*Dar es Salaam, Tanzania* – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania
(BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili
maende...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment