Barabara ya mahonda nje kidogo ya Mji wa Zanzibar ikiwa imepambwa na taa maalumu za kutumia nguvu ya jua katika barabara hiyo kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa eneo hilo wakati wa usiku na kuliweka katika hali ya usalama kimazingira.
ALIYEFARIKI DUNIA KWA TUKIO LA KUCHOMWA KISU TUMBONI, FAMILIA YAKE YASEMA
IMEAMUA KUMUACHIA MUNGU
-
Na Mwandish wetu, DAR ES SALAAM
FAMILIA ya marehemu Salehe Iddy Kitambulio iliyopo Zavala, Chanika Manispaa
ya Ilala, imesema pamoja na ndugu yao kupokwa u...
27 minutes ago
0 Comments