Barabara ya mahonda nje kidogo ya Mji wa Zanzibar ikiwa imepambwa na taa maalumu za kutumia nguvu ya jua katika barabara hiyo kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa eneo hilo wakati wa usiku na kuliweka katika hali ya usalama kimazingira.
OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA JIJI LA DAR ES SALAAM ZAKUBALIANA KUANDAA
MAKUBALIANO KUANZIA KITUO CHA KUMBUKUMBU ZA MUUNGANO
-
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na
Mazingira), Bi. Cesilia Nkwamu akiwasilisha maelezo kuhusu andiko la ukumbi
wa K...
2 hours ago
0 Comments