Barabara ya mahonda nje kidogo ya Mji wa Zanzibar ikiwa imepambwa na taa maalumu za kutumia nguvu ya jua katika barabara hiyo kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa eneo hilo wakati wa usiku na kuliweka katika hali ya usalama kimazingira.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment