Barabara ya mahonda nje kidogo ya Mji wa Zanzibar ikiwa imepambwa na taa maalumu za kutumia nguvu ya jua katika barabara hiyo kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa eneo hilo wakati wa usiku na kuliweka katika hali ya usalama kimazingira.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment