Wanafunzi wa Skuli ya Nyerere na Sebleni wakiwa katika jitihada za kuruka uzio wa uwanja wa amaan kufupisha safari yao wakati wa kwenda skuli na kurudi kama walivyokutwa na kamera yetu wakiwa katika uzio huo wakiruka bila ya kujari athari yake kwao, Hutumia njia hiyo wakati wa mageti ya uwanja huo yakiwa yamefungwa kwa kuzuia hali ya kukatisha katika eneo la uwanja huo hutumika kwa baadhi ya wananchi kupita wakati wote.
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment