Wanafunzi wa Skuli ya Nyerere na Sebleni wakiwa katika jitihada za kuruka uzio wa uwanja wa amaan kufupisha safari yao wakati wa kwenda skuli na kurudi kama walivyokutwa na kamera yetu wakiwa katika uzio huo wakiruka bila ya kujari athari yake kwao, Hutumia njia hiyo wakati wa mageti ya uwanja huo yakiwa yamefungwa kwa kuzuia hali ya kukatisha katika eneo la uwanja huo hutumika kwa baadhi ya wananchi kupita wakati wote.
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment