Wanafunzi wa Skuli ya Nyerere na Sebleni wakiwa katika jitihada za kuruka uzio wa uwanja wa amaan kufupisha safari yao wakati wa kwenda skuli na kurudi kama walivyokutwa na kamera yetu wakiwa katika uzio huo wakiruka bila ya kujari athari yake kwao, Hutumia njia hiyo wakati wa mageti ya uwanja huo yakiwa yamefungwa kwa kuzuia hali ya kukatisha katika eneo la uwanja huo hutumika kwa baadhi ya wananchi kupita wakati wote.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment