Wanafunzi wa Skuli ya Nyerere na Sebleni wakiwa katika jitihada za kuruka uzio wa uwanja wa amaan kufupisha safari yao wakati wa kwenda skuli na kurudi kama walivyokutwa na kamera yetu wakiwa katika uzio huo wakiruka bila ya kujari athari yake kwao, Hutumia njia hiyo wakati wa mageti ya uwanja huo yakiwa yamefungwa kwa kuzuia hali ya kukatisha katika eneo la uwanja huo hutumika kwa baadhi ya wananchi kupita wakati wote.
MHE. MCHENGERWA ASHIRIKI SWALA YA EID EL FITRI KINONDONI
-
-Watanzania waaswa kulinda amani
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Machi 21, 2026 ameungana na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt....
58 minutes ago
0 Comments