Habari za Punde

ZLSC Yatowa Huduma ya Kisheria kwa Wananchi wa Matale Pemba.

 Mratibu Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC) Tawi la Pemba,Bi.Fatma Khamis Hemed, akifungua Mkutano wa Msaada wa Kisheria, kwa Wananchi wa Shehia ya Matale Jimbo la Chonga Wilaya ya Chakechake Pemba, kulia Naibu Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Chakechake,Ndg.Salim Hassan Bakar na katikati ni Sheha wa Shehia ya Matale Ndg.Mkubwa Hamad Hassan
Naibu Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Chakechake Ndg.Salim Hassan Bakar, akifafanua kuhusu Sheria za Umiliki wa Ardhi, kwenye mkutano wa kutoa masaada wa kisheria,Ilioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC) Tawi la Pemba, iliofanyika katika Kijiji cha Shehia ya Matale Jimbo la Chonga wilaya ya Chakechake




Mtoto wa shehia ya Matale Jimbo la Chonga wilaya ya Chakechake, akijifunza jinsi ya kusuka kuti bichi la Mnazi, ambapo aina hiyo ya makuti, ndio yaliokuwa maarufu visiwani Zanzibar kwa kuezekewa nyumba, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.