LICHA ya Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Pemba,
kupiga marufuku ukataji wa katika msitu wa hifadhi wa Mtambwe, Ili kupunguza
uharibifu wa mazingira, suala hilo limekuwa gumu kwa baadhi ya wananchi,
Pichani Kuni kavu zilizokatwa ndani ya msitu huo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Serikali kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara katika kulinda
ushindani wa soko.
-
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema kuwa itahakikisha wafanyabiashara wanapata mazingira
wezeshi ya biashara, kupata faida, na kuchangia katika ukuaji e...
10 minutes ago
0 Comments