LICHA ya Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Pemba,
kupiga marufuku ukataji wa katika msitu wa hifadhi wa Mtambwe, Ili kupunguza
uharibifu wa mazingira, suala hilo limekuwa gumu kwa baadhi ya wananchi,
Pichani Kuni kavu zilizokatwa ndani ya msitu huo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MFUMO WA IDRAS KUBORESHA UTOAJI HUDUMA KWA WALIPAKODI
-
*Kaimu Naibu Kamishna wa Huduma kutoka Idara ya Walipakodi wakubwa Mamlaka
ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Rosemary Ruganuza leo 04.02.2026 Jijini Dar es ...
25 minutes ago
0 Comments