LICHA ya Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Pemba,
kupiga marufuku ukataji wa katika msitu wa hifadhi wa Mtambwe, Ili kupunguza
uharibifu wa mazingira, suala hilo limekuwa gumu kwa baadhi ya wananchi,
Pichani Kuni kavu zilizokatwa ndani ya msitu huo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment