Habari za Punde

MCT yaandaa mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusu kudhalilshwa kwa waandishi

 WAANDISHI wa habari kutoka mikoa kadhaa ya Tanzania, wakifuatilia jinsi ya ujazaji wa fomu ya kielektronik endapo mwandishi wa habari, atafanyiwa udhalilishaji wa aina yoyote au kukoseshwa habari, mafunzo hayo yameandaliwa na MCT na kufanyika Mkoani Dodoma, (Picha na Haji Nassor).
 
 MWANDISHI wa habari na mpiga picha wa Azam TV, Juma Kapipi, akitoa ufafanuzi wa matukio yaliomfika wakati akiwa kazini, kwenye mkutano wa kujaza fomu ya  kielektronik ya udhalilishwaji, ulioandaliwa na MCT na kufanyika Dodoma, (Picha na Haji Nassor).
AFISA Mwandamizi MCT ofisi ya Zanzibar Shifaa Said akifungua mafunzo ya siku moja, ya ujazaji wa fomu ya kielektronik, kwa waandishi wa habari iwapo watadhalilishwa au kufanyiwa hujuma yoyote na kukoseshwa habari, mafunzo hayo yameandaliwa na MCT na kufanyika Dodoma hivi karibuni, (Picha na Haji Nassor).  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.