Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhan
(katikati) akitoa ufafanuzi kwa Wajumbe wa Tume na Sekretarieti ya Tume wakati
wa kikao cha Usaili wa nafasi ya Mratibu na Msimamizi wa Uchaguzi mdogo katika jimbo la
Dimani Zanzibar. Kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji
Mstaafu Damiani Lubuva na Kulia ni Mjumbe wa Tume Mhe. Mchanga Mjata.
STEVE NYERERE: DARAJA LA JAMII NA MWANAHARAKATI WA MAENDELEO
-
Steven Waiton Mengele almaarufu kama SteveNyerere2 ni Mwenyekiti wa Taasisi
ya Mama Ongea na Mwanao na Mdau wa maendeleo katika shughuli za kijamii
ku...
2 hours ago




No comments:
Post a Comment