Moja ya madaraja matatu makubwa yanayojengwa katika barabara ya Ole-Kengeja,madaraja hayo yanayojengwa na Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Pemba, yatakapo kamilika yatakuwa na uwezo wa kupita chombo chenye uzito wa Tani 50, pichani mafundi wakiwa katika harakati za ujenzi wa moja ya madaraja hayo katika hiyo eneo la Fidel Castro- Uwanja wa Ndege.
(Picha na Abdi Suleiman, Pemba)
No comments:
Post a Comment