Fr. Richard Haki akiongoza Ibara ya Krismas katika Kanisa la Minara Miwili Shangani kuadhimisha Siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo. ibada hiyo imefanyika katika kanisa hilo na kuhudhuriwa na Wananchi wa Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar kwa matembezi mbalimbali wamejumuika katika ibada hiyo.
“WCF, NIT Waungana Kupunguza Ajali Barabarani na Kulinda Nguvu Kazi ya
Taifa”
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma,
amesema kuwa ushirikiano kati ya WCF na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
(NIT) u...
56 minutes ago
0 Comments