Fr. Richard Haki akiongoza Ibara ya Krismas katika Kanisa la Minara Miwili Shangani kuadhimisha Siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo. ibada hiyo imefanyika katika kanisa hilo na kuhudhuriwa na Wananchi wa Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar kwa matembezi mbalimbali wamejumuika katika ibada hiyo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment