Habari za Punde

Uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme, katika kijiji cha Mtimbu katika shamra Shamra za kutimiza miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar

 WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mhe;Balozi Ali Abeid Karume, akibonyeza kitufe kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme, katika kijiji cha Mtimbu shehia ya Pujini Wilaya ya Chake Chake, ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za kutimiza miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA)

 MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba, Mhe:Mwanajuma Mjaid Abdalla, akizungumza na wananchi wa Mtimbu Pujini Wilaya ya Chake Chake, mara baada ya kuzinduliwa Mradi wa Umeme kijijini hapo, ikiwa ni sehemu ya shamra Shamra za kutimiza miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA)
 WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Mhe;Balozi Ali Abeid Karume, akizungumza na wananchi wa Mtimbu Pujiji, Wilaya ya Chake Chake Pemba mara baada ya kuzindua mradi wa Usambazaji huduma ya Umeme kijijini hapo, ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za kutimiza miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA)
 VIONGOZI mbali mbali wa Serikali wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake wa kwanza kutoka kushoto, wakishuhudia Uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme kijiji cha Mtimbu Shehia ya Pujini Wilaya ya Chake Chake, ikiwa ni sehemu ya shamra Shamra za kutimiza miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA)

VIJANA mbali mbali wakiitikia dua baada ya uzinduzi wa mradi wa Umeme, katika kijiji cha Mtimbu Pujini Wilaya ya Chake Chake, ikiwa ni sehemu ya shamra Shamra za kutimza miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.