STATE HOUSE
ZANZIBAR
OFFICE OF THE
PRESS SECRETARY
PRESS RELEASE
Zanzibar 25.07.2017
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
amerejea nchini leo akitokea nchini Uingereza.
Katika
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, viongozi mbali mbali wa
vyama vya siasa na Serikali pamoja na wakuu wa vikosi vya ulinzi na usalama wa
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
walimpokea Dk. Shein wakiongozwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi
Seif Ali Idd.
Dk.
Shein katika safari hiyo maalum ya nchini Uingereza, alifuatana na Mkewe Mama
Mwanamwema Shein pamoja na Watendaji wengine wa Serikali.
Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar
Postal Address: 2422 Tel.:0777427449. Fax: 024
2231822
E-mail:
rajabmkasaba@yahoo.co.uk
No comments:
Post a Comment