Mwananchi wa Kijiji cha Mwera kiongoni akitandaza kifusi katika barabara yao ya ndani kama alivyokutwa na kamera yetu akiwa katika kazi hiyo, kipindi cha mvua za masika barabara nyingi zimeharibika kwa kuchimbika na kuwa katika hali ya kuharibika kwa mashimo kuwa mengi.
Mariam Ibrahim Aungana na Wanawake wa Pwani Kufagia Uwanja wa Uzinduzi wa
Kampeni Bagamoyo
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
16 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani kufagia viwanja vya
Sh...
2 hours ago
Miundombinu ya barabara kijijini Mwera inahitajika kwa sababu ya kuharibiwa vibaya na mvua.Mazao hayawezi kufika sokoni kwa wakati unaohitajika. Mbali na hayo, vifusi vilivyotapakaa barabarani vinakuwa kikwazo kikubwa kwa magari kupita.
ReplyDelete