Mkuu wa
wilaya ya Chakechake Pemba, Salama Mbarouk Khatib, akifungua mafunzo ya siku
moja ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, yaliofanyika na kuandaliwa na
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba
Waratibu wa
shehia wanaoshughulikia wanawake na watoto wa mkoa wa kusini Pemba,
wakifuatilia mada kwenye mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria,
yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba
Mratibu wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba Fatma Khamis Hemed,
akiwasilisha mada, ya dhana ya wasaidizi wa sheria kwa waratibu wa wanawake na
watoto wa Mkoa wa kusini Pemba
Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi
la Pemba Safia Saleh Sultan, akiwasilisha mada ya sheria ya kuwalinda wari na
watoto wa mzazi mmoja, kwenye mafunzo kwa waratibu wa wanawake na watoto wa
Mkoa wa kusini Pemba, yaliofanyika ZLSC mjini Chakechake
AFISA
Mipango wa Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed, akiwasilisha mada ya
sheria ya mtoto Zanzibar no 6 ya mwaka
2011, kwa waratibu wa wanawake na watoto
wa Mkoa wa kusini Pemba, kwenye mafunzo yaliofanyika ZLSC mjini Chake chake.
(Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment