Habari za Punde

Waziri wa biashara afungua Banda la karafuu shehia ya Mjimbini kisiwani Pemba

 Waziri wa Biashara , Viwanda na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ,Amina Salim Ali, akikata utepe katika ufunguzi wa Banda la Karafuu huko katika shehia ya Mjimbini Pemba , lilijengwa na Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar ( ZSTC) Pemba.
 Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Amina Salim Ali, akikaguwa ujenzi wa banda la ununuzi wa Karafuu huko katika Shehia ya Mjimbini Pemba.
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Amina Salim Ali, akikaguwa ujenzi wa banda la ununuzi wa Karafuu huko katika Shehia ya Mjimbini Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.