Waziri wa Biashara , Viwanda na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ,Amina Salim Ali, akikata utepe katika ufunguzi wa Banda la Karafuu huko katika shehia ya Mjimbini Pemba , lilijengwa na Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar ( ZSTC) Pemba.
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Amina Salim Ali, akikaguwa ujenzi wa banda la ununuzi wa Karafuu huko katika Shehia ya Mjimbini Pemba.
TANGA CEMENT YAWEKA HISTORIA KUWA KAMPUNI YA KWANZA KUUZA HISA STAHIKI
ZENYE THAMANI KUBWA KULIKO ZOTE
-
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA.
Nicodemus Mkama amesema Kampuni ya Saruji Tanga imeweka historia ya kuwa
kampun...
1 hour ago



0 Comments