MDHAMINI wa
Mamlaka ya Kuzuia rushwa na uhujumu wa uchumi ZAECA ofisi ya Pemba Suleiman Ame
Juma, akiwasilisha mada ya madhara ya rushwa kwa watendaji wa Jeshi la Polisi
kisiwani Pemba, mafunzo hayo yalifanyika Kituo cha Huduma za Sheria mjini
Chakechake
MRATIBU wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed
akizungumzia kazi za kituo hicho, kwenye mafunzo ya Jeshi la Polisi juu ya haki
za binadamu, yaliofanyika mjini Chakechake
WATENDAJI wa
Jeshi la Polisi kisiwani Pemba, wakifuatilia mafunzo ya haki za binadamu,
yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na
kufanyika mjini Chakechake.
WATENDAJI wa
Jeshi la Polisi kisiwani Pemba, wakifuatilia mafunzo ya haki za binadamu,
yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na
kufanyika mjini Chakechake.
MTENDAJI wa
Jeshi la Polisi, akichangia jambo kwenye mafunzo ya haki za binadamu
yaliofanyika mjini Chake chake na kuandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, (Picha na
Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment