WAZIRI wa
Afya Zanzibar Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, (kulia) akikata utepe kuashiria
kukifungua Kituo cha Mkono kwa mkono, kilichopo hospitali ya Micheweni Mkoa wa
Kaskazini Pemba, akiwa na Mratibu Mkuu wa masuala ya ulinzi na uhifadhi wa
mtoto, kutoka shirika la Save Children Zanzibar Ramadhan Mohamed Rashid
Waziri wa
Afya Zanzibar Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, akitembea kuelekea kwenye mazungumzo
na wananchi, wanafunzi na madaktari wa Hospitali ya Micheweni, mara baada ya
kukifungua Kituo cha Mkono kwa mkono kilichopo hospitalalini hapo, akiwa na
Mratibu Mkuu wa masuala ya ulinzi na uhifadhi wa mtoto, kutoka shirika la Save
Children Zanzibar Ramadhan Mohammed Rashidi
WASOMA utenzi
kulia ni Suria Said Ali na kushoto Twalhia Hatoro Hamad, wakihanikiza utenzi
huo kwenye hafla ya ufunguzi wa Kituo cha Mkono kwa mkono, kilichopo hospitali ya
Micheweni
MSOMA risala
Mgeni Haroun Salim, kwenye hafla ya ufunguzi wa Kituo cha Mkono kwa mkono,
kilichopo hospitali ya Micheweni, kazi iliofanywa na waziri wa afya Zanzibar
Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo
WAZIRI wa
Afya Zanzibar Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, akizungumza na wanafunzi, wazazi na
watendaji wa Hospitali ya Micheweni, mara baada ya kufungua kituo cha Mkono kwa
mkono kilichomo hospitalini hapo
WAZIRI wa
Afya Zanzibar Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, akiwaonyesha wananchi wa wilaya ya
Micheweni, hati aliokabidhiwa kutoka kwa Mratibu wa Save the Children, mara
baada ya kukifungua kituo cha Mkono kwa mkono, kilichopo hospitali ya Micheweni
mkoa wa kaskazini Pemba
Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari Micheweni
Mkoa wa kaskazini Pemba, wakimsikiliza Waziri wa Afya Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akihutubia wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa Kituo cKIliohudhuria hafla ya ha Mkono kwa Mkono katika hospitali ya Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba.
Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba, wakimsikiliza Waziri wa Afya Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akihutubia wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa Kituo cKIliohudhuria hafla ya ha Mkono kwa Mkono katika hospitali ya Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba.
Wananchi na
madakatari wanaofanyakazi hospitali ya Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba,
waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Mkono kwa mkono, kilichopo
Hospitali ya Micheweni, kazi iliofanywa na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe:
Mahamoud Thabiti Kombo.
(Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment