Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akiwa na Viongozi Jukwaa kuu akipokea maandamano ya Timu shiriki za Michuano ya Mkombozi PBZ Cup, kulia Mkurugenzi Mtendaji wa PBZ Juma Ameir Hafidh na kushoto Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo, Omar Hassan King wakipokea maandamano hayo ya Timu shiriki. 
“\KAMPENI YA ‘SOMA NA MTI, ISHI NA MTI’ YAZINDULIWA KILOMBERO
-
Farida Mangube, Morogoro
Katika kuimarisha juhudi za uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na
mabadiliko ya tabianchi, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment