Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akiwa na Viongozi Jukwaa kuu akipokea maandamano ya Timu shiriki za Michuano ya Mkombozi PBZ Cup, kulia Mkurugenzi Mtendaji wa PBZ Juma Ameir Hafidh na kushoto Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo, Omar Hassan King wakipokea maandamano hayo ya Timu shiriki. 
ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MOJA ZAKUSANYWA UJENZI WA OFISI YA CCM WILAYA
YA TUNDURU
-
Zaidi ya Shilingi milioni mia moja na mchango wa vifaa vya ujenzi, ikiwemo
saruji zimepatikana katika harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa ofisi mpya
ya kis...
1 hour ago
0 Comments