Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akiwa na Viongozi Jukwaa kuu akipokea maandamano ya Timu shiriki za Michuano ya Mkombozi PBZ Cup, kulia Mkurugenzi Mtendaji wa PBZ Juma Ameir Hafidh na kushoto Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo, Omar Hassan King wakipokea maandamano hayo ya Timu shiriki.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment