MLANGO wa kuingia uwanja wa Gombani upande wa ZFA ukiwa umevunjwa kwa kutolewa sehemu ya chini na mashabiki wanaodaiwa kuwa wa Timu ya Shaba, baada ya mchezo wao na Wawi Star kumalizika kwa Shaba kufungwa goli 1-0.(PICHA NA MWANDISHI WETU ,PEMBA)
PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA MKOA WA SINGIDA
-
Na Mwandishi Wetu
Puma Energy Tanzania imezindua rasmi kituo chake kipya cha mafuta katika
Mkoa wa Singida, hatua inayoonyesha dhamira yake ya kupanua up...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment