MLANGO wa kuingia uwanja wa Gombani upande wa ZFA ukiwa umevunjwa kwa kutolewa sehemu ya chini na mashabiki wanaodaiwa kuwa wa Timu ya Shaba, baada ya mchezo wao na Wawi Star kumalizika kwa Shaba kufungwa goli 1-0.(PICHA NA MWANDISHI WETU ,PEMBA)
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment