Habari za Punde

Zantel Yadhamini Tamasha la Wanachuo la 'Chem Chem Bonfire ' Jijini Dar es Salaam.

Dulah Makabila, Msanii wa Muziki wa Singeli, Abdallah Makabila a.k.a Dullah Makabila akitumbuiza jukwaani wakati wa Tamasha la Wanachuo lijulikanalo kama ‘Zantel Chem Chem Bonfire’ lililofanyika katika ukumbi wa New Msasani Club hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
 Happy & Ibra, Wasanii wa kizazi kipya wanaochipukia, Ibrahim Jakob na Happy Best wakishambulia jukwaa kwenye Tamasha la wanachuo lijulikanalo kama ‘Zantel Chem Chem Bonfire’ lililofanyika katika ukumbi wa New Msasani Club hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
 Juma Nature, Msanii wa Muziki wa Bongo Flava, Juma Kassim Nature akiwapagawisha Wanafunzi kutoka Vyuo vikuu  vya  jiji la Dar es Salaam katika Tamasha lililoratibiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel lilopewa jina la ‘Zantel Chem Chem Bonfire’ ambalo lilifanyika katika ukumbi wa New Msasani Club hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Young Killer, Msanii wa Muziki wa Bongo Flaver, Young Killer akiimba pamoja na Wanafunzi wa Vyuo vikuu  vya  jiji la Dar es Salaam kwenye Tamasha lililoratibiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel lililopewa jina la ‘Zantel Chem Chem Bonfire’ ambalo lilifanyika katika ukumbi wa New Msasani Club hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.