Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliani na Ardhi ya Baraza la Wawakilisi waqkiwasili kisiwani Pemba kwa Meli ya Mv Mapinduzi II wakiwa katika picha ya pamoja na Nahodha wa Meli hiyo baada ya kuwasili katika Badari ya Mkoani Pemba kuaza ziara yao ya kikazi.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment