Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliani na Ardhi ya Baraza la Wawakilisi waqkiwasili kisiwani Pemba kwa Meli ya Mv Mapinduzi II wakiwa katika picha ya pamoja na Nahodha wa Meli hiyo baada ya kuwasili katika Badari ya Mkoani Pemba kuaza ziara yao ya kikazi.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment