Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliani na Ardhi ya Baraza la Wawakilisi waqkiwasili kisiwani Pemba kwa Meli ya Mv Mapinduzi II wakiwa katika picha ya pamoja na Nahodha wa Meli hiyo baada ya kuwasili katika Badari ya Mkoani Pemba kuaza ziara yao ya kikazi.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment