Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazji Zanzibar(ZBC) Aiman Duwe akifanya mahojiano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya Uzinduzi wa Studio Mpya za Kisasa katika Majengo ya ZBC Mnazi mmoja leo ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB
-
Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi
Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill
Kiwia (w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment