Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazji Zanzibar(ZBC) Aiman Duwe akifanya mahojiano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya Uzinduzi wa Studio Mpya za Kisasa katika Majengo ya ZBC Mnazi mmoja leo ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
FUNGUO Yatangaza Fursa za Ufadhili wa Zaidi ya TZS Bilioni 2.5 kwa
Wajasiriamali wa Tanzania na Biashara Endelevu kwa Mazingira
-
Mradi wa Ubunifu wa FUNGUO, ambao ni mradi wa kimkakati unaofadhiliwa kwa
pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), Jamhuri ya Finland, na Serikali ya Uingereza
(FCDO...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment