Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazji Zanzibar(ZBC) Aiman Duwe akifanya mahojiano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya Uzinduzi wa Studio Mpya za Kisasa katika Majengo ya ZBC Mnazi mmoja leo ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MSAJILI TDB ASISITIZA UWAJIBIKAJI NA MIKAKATI IMARA KUINUA SEKTA YA MAZIWA
-
Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania, Prof. George Msalya, amewataka
watumishi wa Bodi hiyo kuongeza uwajibikaji, ubunifu na weledi katika
kutekeleza majuk...
3 hours ago
0 Comments