Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege Tanzania Mr. Emmnuel Koroso akimkabidhi mfano wa Ndege ya ATCL ya Bombardier Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Sekta ya Usafiri wa Anga Duniani na kuwashirikisha watoa huduma za Ndege, uliofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Ndege ya Bombardier na Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bombardier Commercial Aircraft -Middle East&Africa PhD
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment