Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akufunga Mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Usafiri wa Anga na Watowa Huduma za Usafiri wa Aga Duniani.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege Tanzania Mr. Emmnuel Koroso akimkabidhi mfano wa Ndege ya ATCL ya Bombardier Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Sekta ya Usafiri wa Anga Duniani na kuwashirikisha watoa huduma za Ndege, uliofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Ndege ya Bombardier na Mkuu wa Masoko wa  Kampuni ya Bombardier Commercial Aircraft -Middle East&Africa  PhD 



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.