Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege Tanzania Mr. Emmnuel Koroso akimkabidhi mfano wa Ndege ya ATCL ya Bombardier Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Sekta ya Usafiri wa Anga Duniani na kuwashirikisha watoa huduma za Ndege, uliofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Ndege ya Bombardier na Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bombardier Commercial Aircraft -Middle East&Africa PhD
FCC YAKUTANA NA MAMLAKA ZA UDHIBITI KISEKTA KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA
USHINDANI DUNIANI
-
📍 Dar es Salaam
Tume ya Ushindani (FCC) imefanya semina kwa Mamlaka za Udhibiti Kisekta
kujadiliana juu ya masuala ya ushindani kwenye soko.
Akizun...
7 hours ago
0 Comments