Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege Tanzania Mr. Emmnuel Koroso akimkabidhi mfano wa Ndege ya ATCL ya Bombardier Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Sekta ya Usafiri wa Anga Duniani na kuwashirikisha watoa huduma za Ndege, uliofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Ndege ya Bombardier na Mkuu wa Masoko wa  Kampuni ya Bombardier Commercial Aircraft -Middle East&Africa  PhD 
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment