Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mzee Jumanne Ngoma, mvumbuzi wa madini ya Tanzanite,akizungumza nae wakati wa uzinduzi rasmi wa ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018
Zaidi ya Mabwawa 100 ya Umwagiliaji Kufanyiwa Usanifu
-
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeishukuru serikali kwa kuongeza bajeti kiasi
cha shilingi bilioni 403 kutoka bilioni 373 kwa aajili utekelezaji wa
miradi ...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment