Mratibu wa Elimu Skuli ya Mwanakwerekwe D Unguja Hassan Haji Hassan akiwazawadia Wanafunzi wa Skuli hiyo ya Msingi Mwanakwerekwe D Unguja kwa kufauli Michupuo na Vipaji Maalum katika mikutano yao ya Taifa iliofanyika mwaka jana, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli hiyo Mwanakwerekwe Zanzibar.
Wachambuzi: Vijana Watumie Mitandao kwa Uzalendo Kulinda Amani Kuelekea
Uchaguzi
-
Na Rahel Pallangyo, Dar es Salaam
WACHAMBUZI wa masuala ya siasa, diplomasia na maendeleo wamewataka vijana
na wananchi kwa ujumla kutumia mitandao y...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment