Mratibu wa Elimu Skuli ya Mwanakwerekwe D Unguja Hassan Haji Hassan akiwazawadia Wanafunzi wa Skuli hiyo ya Msingi Mwanakwerekwe D Unguja kwa kufauli Michupuo na Vipaji Maalum katika mikutano yao ya Taifa iliofanyika mwaka jana, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli hiyo Mwanakwerekwe Zanzibar.
TFS Wino watwaa ubingwa Bonanza la Michezo, watumia fursa kuelimisha juu ya
uhifadhi wa misitu
-
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupitia Shamba la Miti Wino
wamemaliza Bonanza la Michezo la TFS, lililowakutanisha timu nane kutoka
kata tatu za...
52 minutes ago

No comments:
Post a Comment