Mratibu wa Elimu Skuli ya Mwanakwerekwe D Unguja Hassan Haji Hassan akiwazawadia Wanafunzi wa Skuli hiyo ya Msingi Mwanakwerekwe D Unguja kwa kufauli Michupuo na Vipaji Maalum katika mikutano yao ya Taifa iliofanyika mwaka jana, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli hiyo Mwanakwerekwe Zanzibar.
MSITHA AHIMIZA AAT KUWAWEKA KARIBU WADAU KUDHAMINI MASHINDANO YA MBIO ZA
MAGARI
-
BARAZA la Michezo Nchini (BMT) La ahidi kushirikiana bega kwa bega na
Shirikisho la Mbio za Magari (AAT) Kuhakikisha wadau wanaunga mkono mchezo
huo.
Ak...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment