Mratibu wa Elimu Skuli ya Mwanakwerekwe D Unguja Hassan Haji Hassan akiwazawadia Wanafunzi wa Skuli hiyo ya Msingi Mwanakwerekwe D Unguja kwa kufauli Michupuo na Vipaji Maalum katika mikutano yao ya Taifa iliofanyika mwaka jana, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli hiyo Mwanakwerekwe Zanzibar.
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment