WASHIRIKI mbali mbali wa mkakati wa mabadiliko ya
tabia na afya ya uzazi kwa vijana, wakifuatilia uwasilishwaji wa mkakati huo
huko katika Ukumbi wa Tassaf Chake Chake Pemba.(PICHA NO:ABDI SUELIMAN, PEMBA)
WASHIRIKI mbali mbali wa mkakati wa mabadiliko ya
tabia na afya ya uzazi kwa vijana, wakifuatilia uwasilishwaji wa mkakati huo
huko katika Ukumbi wa Tassaf Chake Chake Pemba.(PICHA NO:ABDI SUELIMAN, PEMBA)
AFISA kutoka Tume ya Ukimwi Pemba, Ali Mbarouk Omar
akiwasilisha malengo ya mkakati wa mabadiliko ya tabia na afya ya uzazi kwa
vijana, huko katika ukumbi wa Tasaf Chake Chake Pemba.(PICHA NO:ABDI SUELIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment