Habari za Punde

Internews Yatowa Mafunzo Kwa Waandishi wa Habari Kisiwani Pemba.

MKUFUNZI mwandamizi wa masuala ya Habari kutoka Internews Tanzania Alalok Mayombo, akizungimzia lengo la mafunzo hayo kwa waandishi wa habari na wajasiriamali Kisiwani Pemba, mafunzo hayo yametolewa na Internews kupitia mradi wa boresha habari, huko katika ukumbi wa mikutano Gombani
KAIMU mkurugenzi wa kitengo cha Demokrasia na Utawala Bora kutoka shirika la Misaada la Marekani (USAID)Jennifer Horsfall Tanzania, akifungua mafunzo ya ujasiriamali na waandishi wa habari Kisiwani Pemba, mafunzo hayo yametolewa na Internews kupitia mradi wa boresha habari, huko katika ukumbi wa mikutano Gombani
AFISA mikataba kutoka USAID Tanzania Emilia Mkubulo, akihamasisha akinababa kuwapa ruhusa wake zao kushiriki katika masuala ya ujasiriamali kwa lengo la kujienua kiuchumi, wakati wa mafunzo hayo yametolewa na Internews kupitia mradi wa boresha habari, huko katika ukumbi wa mikutano Gombani

WAANDISHI wa Habari Kisiwani Pemba, wakifuatilia ufunguzi wa mafunzo ya ujasiriamali yaliyowashirikisha wajasiariamali mbali mbali Kisiwani Pemba, yaliyotolewa na Internews kupitia mradi wa boresha habari, huko katika ukumbi wa mikutano Gombani.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.